Back to home
Wajane wa Butere walalamikia dhuluma na unyanyasaji
video
C
Citizen TV (Youtube)June 23, 2026
2h ago
Huku dunia ikiadhimisha siku ya wajane duniani, wajane kutoka Wadi ya Marama ya Kati katika eneo bunge la Butere wameeleza wasiwasi wao kuhusu dhuluma, unyanyasaji na ubaguzi wanaokumbana nao baada ya kufiwa na waume wao. Wameitaka jamii na serikali kuchukua hatua za kuwalinda na
Advertisement
Advertisement




