Back to home
Shule za Gusii zakumbatia majiko ya stima kurahisisha upishi
video
C
Citizen TV (Youtube)June 23, 2026
2h ago
Shule kadhaa katika eneo la Gusii zimeanza kutumia majiko ya stima pamoja na teknolojia nyingine za kisasa ili kuboresha na kurahisisha huduma za upishi kwa mamia ya wanafunzi. Mvumbuzi kijana Hykarus Ondimu kutoka kijiji cha Nyamemiso mjini Kisii amesema anatumia vyuma na ujuzi
Advertisement
Advertisement




