Back to home

Wakulima wa Meru wanufaika na vifaa vya kilimo vya sh 18 milioni

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 23, 2026
2h ago
Wakulima katika kaunti ya Meru wamenufaika na vifaa vya kilimo vyenye thamani ya shilingi milioni 18 vilivyotolewa na serikali ya kaunti. Vifaa hivyo vinajumuisha matrekta, mitungi ya kuhifadhi maziwa na mitungi ya kuhifadhi mbegu za kuzalisha mifugo, hatua inayolenga kuongeza uz
Advertisement