Back to home
Nyongeza ya malipo ya majani chai Kandara Muranga
video
C
Citizen TV (Youtube)February 4, 2026
3h ago
Wakulima wa majani chai katika Eneo bunge la Kandara, Kaunti ya Murang’a, wamepokea kwa furaha tangazo la kuongezwa kwa malipo ya kila mwezi ya majani chai na Shirika la majani Chai Nchini, KTDA kutoka shilingi ishirini na tano hadi thelathini kwa kilo.
Hatua hii inalenga kubor
Advertisement
Advertisement





