Back to home

Maandamano ya mfanyibiashara aliyetoweka Busia

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 5, 2026
5h ago
Watu kadhaa wamekamatwa na kuzuiliwa kufuatia vurugu zilizozuka huko Busia. Maandamano yalizuka mjini kufuatia kutoweka kwa mfanyibiashara, Ibrahim Mohammed, kwa wiki mbili sasa . Wakazi na familia ya mfanyibiashara wanataka polisi kutoa taarifa kuhusu aliko, wakidai kuwa alitowe
Advertisement