Back to home
Wahudumu wa bodaboda wapinga ushuru wa pikipiki Busia
video
C
Citizen TV (Youtube)February 5, 2026
5h ago
Wahudumu wa bodaboda zaidi ya 20,000 katika kaunti ya Busia wamepinga vikali pendekezo la serikali ya kaunti hiyo la kuwataka kulipa ushuru kama wafanyabiashara wengine, wakidai kupuuzwa na serikali hiyo licha ya ahadi nyingi walizopewa na gavana Paul Otuoma miaka mitatu iliopita
Advertisement
Advertisement





