Back to home
Unyunyiziaji maji wazalisha vyakula kwenye ardhi kame Kajiado
video
C
Citizen TV (Youtube)February 5, 2026
2h ago
Wakazi wa ngurumani, kijiji cha Kongo, Kajiado magharibi, wameonesha kuwa kilimo kinaweza kustawi hata katika mazingira magumu. Kupitia matumizi ya maji ya unyunyiziaji yanayotoka milimani, wakulima wa eneo hili wamebadilisha maisha yao na kukuza uchumi wa jamii
Advertisement
Advertisement





