Back to home
Ujenzi wa uwanja wa kimataifa Momabasa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 5, 2026
2h ago
Baada ya kukwama ujenzi wa uwanja wa kaunti ya Mombasa kwa zaidi ya miaka kumi, serikali ya taifa sasa imechukua hatamu ya kuujenga uwanja huo utakaokuwa na hadhi ya kimataifa.
Advertisement
Advertisement




