Back to home

Baadhi ya wafuasi hawajaridhishwa na utekelezaji wa makubaliano ya UDA-ODM

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 6, 2026
6h ago
Baadhi ya wakenya wameelezea kutoridhishwa kwao na mwendo wa kobe wa utekelezwaji wa ajenda kumi zilizokubaliwa mwaka jana, baina ya Rais William Ruto na hayati Raila Odinga. Wakizungumza jijini Kisumu, wakazi waliishutumu serikali kwa kukosa kuziba nyufa za ufisadi na badala yak
Advertisement