Back to home
Ubishi waibuliwa kuhusu fedha za mikutano katika chama cha ODM
video
C
Citizen TV (Youtube)February 6, 2026
6h ago
Mwakilishi wa kike kaunti ya Kisumu Ruth Odinga alimtetea katibu mkuu wa chama cha ODM Edwin Sifuna akisema anapigwa vita na watu wanaotaka kukinadi chama cha ODM kwa Rais William Ruto. Kupitia kwa ujumbe mtandaoni, Ruth Odinga ambaye ni dadake aliyekuwa waziri mkuu hayati Raila
Advertisement
Advertisement





