Back to home

Baadhi ya wanafunzi kutoka Eastlands wapata afueni baada ya kulipiwa karo

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 6, 2026
1h ago
Baadhi ya wanafunzi wanaotoka katika familia zenye uhitaji mkubwa kutoka eneo la Eastlands jijini Nairobi, wamepata afueni baada ya wafadhili kuchukua hatua ya kuwalipia karo na kuleta matumaini mapya kwa familia zinazokabiliwa na changamoto za kifedha. Subscribe and watch NTV K
Advertisement