Back to home

Rachael Shebesh aunga rais Ruto mkono kwenye uchaguzi wa 2027

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 7, 2026
7h ago
Rais William Ruto anaonekana kubadilisha mkakati jijini Nairobi kuwatafuta viongozi wa zamani ili kumpigia debe anapotaka kipindi cha pili katika uchaguzi mkuu wa 2027. Aliyekuwa mwakilishi wa kike wa Nairobi Rachael Shebesh ambaye alikuwa upande wa rais mstaafu Uhuru Kenyatta sa
Advertisement