Back to home
Wakazi wa Kapkembu Nakuru waomba KERRA wajenge barabara iliyoharibika zaidi ya miaka mitano
video
C
Citizen TV (Youtube)February 7, 2026
6h ago
Wakazi wa kijiji cha Kapkembu kaunti ya Nakuru wanaitaka mamlaka ya KERRA kujenga barabara ya Kapkembu kuelekea Mwangate ambayo imekuwa katika hali mbaya kwa zaidi ya miaka mitano. Hali hii imesababisha kufungwa kwa kiwanda cha chai huku mazao ya shamba pia yakikosa soko
Advertisement
Advertisement



