Back to home
Askofu Cleophas Oseso awataka wakristo kuliombea taifa la Kenya
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 7, 2026
7h ago
Askofu wa jimbo la Nakuru Cleophas Oseso amewataka waumini wa kanisa la Katoliki na wakristo kwa jumla kuombea amani ya nchi wakati kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka ujao zinatarajiwa kuanza huku akionya wanasiasa dhidi ya kuwachochea wananchi kwa misingi ya ukabila .
Subscribe
Advertisement
Advertisement



