Back to home

Askofu Cleophas Oseso awataka wakristo kuliombea taifa la Kenya

video
N
NTV Kenya (Youtube)
February 7, 2026
7h ago
Askofu wa jimbo la Nakuru Cleophas Oseso amewataka waumini wa kanisa la Katoliki na wakristo kwa jumla kuombea amani ya nchi wakati kampeni za uchaguzi mkuu wa mwaka ujao zinatarajiwa kuanza huku akionya wanasiasa dhidi ya kuwachochea wananchi kwa misingi ya ukabila . Subscribe
Advertisement