Back to home

Kijana wa miaka 27 atembea kutoka Bomet hadi jijini Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 8, 2026
4h ago
Kijana mmoja mwenye umri wa miaka 27 kutoka bomet amekamilisha safari ndefu ya kutembea zaidi ya kilomita 200 kutoka Bomet hadi Nairobi katika matumaini ya kuchangisha karo ya masomo yake ya chuo kikuu. Dancan Kibet, aliyemaliza elimu yake ya sekondari mwaka 2015, hajawahi kujiun
Advertisement