Back to home

Muungano wa upinzani wasema wana ajenda thabiti 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 8, 2026
2h ago
Viongozi wa Upinzani wameahidi kumuondoa mamlakani Rais William Ruto kwenye kinyang’anyiro cha urais mwaka ujao. Wakizungumza eneo la Njabini kaunti ya Nyandarua, vinara hao Rigathi Gachagua wa DCP, Fred Matiang’I wa Jubilee na Justin Muturi wa DP, wanasema wanajipanga na ser
Advertisement