Back to home
Mrengo wa kundi la ODM lasisitiza kuwa halitaruhusu chama hicho kubuni muungano na chama cha UDA
video
C
Citizen TV (Youtube)February 8, 2026
2h ago
Kundi la ODM linaloongozwa na katibu mkuu Edwin Sifuna limesisitiza kuwa halitaruhusu chama hicho kubuni muungano na chama cha UDA kuunga mkono urais wa Rais William Ruto kwenye uchaguzi mkuu ujao. Wakiendeleza mikutano na wananchi kaunti ya Busia, viongozi hao wameshikilia kuwa
Advertisement
Advertisement




