Back to home

Hofu ya mikoko Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 10, 2026
16h ago
Wanaharakati kaunti ya Mombasa wameelezea wasiwasi wao kuhusu kupungua kwa mikoko kando ya bahari. Wakizungumza wakati wa zoezi la kupanda mikoko katika mkondo wa bahari eneo la Tudor wametaka wanafunzi shuleni kushirikishwa katika hamasiho la mazingira. Wakaazi wanaofanya uvuvi
Advertisement