Back to home
Washikadau wa soka katika Mombasa wamepongeza hatua ya serikali kuzindua ujenzi wa uwanja
video
C
Citizen TV (Youtube)February 10, 2026
14h ago
Washikadau wa soka katika kaunti ya mombasa wamepongeza hatua ya serikali kuu kuingilia kati na hatimaye kuufufua ujenzi wa uwanja wa mombasa municipal stadium, ambao umekwama kwa zaidi ya miaka kumi na tano.
Advertisement
Advertisement





