Back to home
Uchunguzi wa maiti wabaini Sherly Achieng’ alifariki kwa jeraha la risasi kichwani, risasi yatoweka
video
C
Citizen TV (Youtube)February 10, 2026
1d ago
Uchunguzi wa maiti ya Sherly Achieng’ msichana aliyepigwa risasi na afisa wa polisi mtaani huruma hapa jijini Nairobi umeibaini alifariki kutokana na majeraha ya risasi kichwani. Wasiwasi umeibuka baada ya kubainika kuwa risasi iliyomua sherly haikupatikana na haijulikani iliko
Advertisement
Advertisement





