Back to home
Serikali yaagiza uchunguzi wa kizaazaa kanisani Othaya
video
C
Citizen TV (Youtube)January 25, 2026
7h ago
Serikali imetoa hakikisho kuwa imeanzisha uchunguzi kuhusiana na matukio ya leo katika kanisa la witima kaunti ya nyeri. Naibu Rais Kithure Kindiki na waziri wa usalama Kipchumba Murkomen kwenye taarifa wakikashifu matukio hayo.
Advertisement
Advertisement





