Back to home

Malumbano ya magavana na maseneta kuhusu hongo

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 11, 2026
3h ago
Baraza la magavana sasa limetishia kuwasilisha majina ya maseneta wanaoitisha hongo katika vikao vya kamati ya seneti ya uhasibu na kuhujumu utendakazi wa magavana. Mwenyekiti wa baraza la magavana Ahmed Abdullahi amemuandikia barua spika wa seneti Amason Kingi kuandaa kikao cha
Advertisement