Back to home

Sakaja akiri ushirikiano na serikali kuu hautahamisha majukumu ya kaunti ya Nairobi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 11, 2026
2h ago
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja amekana kwamba baadhi ya majukumu ya serikali ya kaunti ya Nairobi yamehamishwa hadi kwa serikali kuu. Akihutubia bunge la kaunti ya Nairobi, Sakaja amesisitiza kuwa ushirikiano kati ya serikali ya kaunti ya Nairobi na serikali ya kitaifa hautasab
Advertisement