Back to home

Kongamano la kukabiliana na uhaba wa chakula barani Afrika limeng'oa nanga huko Mombasa

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 12, 2026
3h ago
Kongamano la kukabiliana na uhaba wa chakula barani Afrika limeng'oa nanga huko mombasa. Wajumbe kutoka bara afrika wameitaka serikali kuwekeza katika mashine na vifaa vya kisasa vya kilimo ili kuongeza mazao ya chakula hasa katika maeneo kame. Kulingana nao, ushirikiano na waku
Advertisement