Back to home
Mvutano yaibuka kuhusiana na ardhi ya Nakeel katika eneo la Rongai
video
C
Citizen TV (Youtube)February 12, 2026
3h ago
Mvutano umeibuka kuhusiana na ardhi ya Nakeel, katika eneo la Rongai, eneo bunge la Kajiado North kufuatia mpango wa Serikali Kuu wa kujenga nyumba kwenye ardhi hiyo.
Advertisement
Advertisement





