Back to home
Siasa za maji Pwani: Bodi ya maji yajitetea, magavana walidai imezembea kazi
video
C
Citizen TV (Youtube)February 12, 2026
2h ago
Mamlaka ya usambazaji maji ya pwani imekana madai ya magavana wa eneo hilo kuwa wamezembea katika utendakazi wake na kusababisha uhaba wa maji kwa wakazi wa pwani. Afisa mkuu wa mamlaka hiyo hamoud mguza badal yake akisema, mzigo wa madeni ya kaunti umezidi kulemaza kazi zao. Mam
Advertisement
Advertisement




