Back to home

Wakenya watakiwa kuwajibika kumaliza vita dhidi ya dhuluma za kijinsia kwa watoto

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 13, 2026
3h ago
Itamlazimu kila mkenya kumuwajibikia mwenzake, ikiwa taifa litaweza kushinda vita dhidi ya dhuluma za kijinsia kwa Watoto. Ndiyo kauli ya katibu wa jinsia Ann Wang’ombe, aliyezuru nyumbani kwao Shantel waruguru, mtoto wa miaka 9 aliyenajisiwa, kuwaawa na mwili wake kutupwa ch
Advertisement