Back to home
Viongozi wa ODM wakiongozwa na gavana Wanga wasema wamechoka kukaa upinzani
video
N
NTV Kenya (Youtube)February 14, 2026
5h ago
Viongozi wa Odm wameendelea na ziara yao ukanda wa Pwani leo hii wakiwa kusini mwa Pwani kunadi chama hicho. Viongozi hao, wamedokeza nia yao ya kuingia katika muungano na chama cha UDA , wakidai wamechoka kuwa katika upinzani.
Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Keny
Advertisement
Advertisement





