Back to home

Ruto awashutumu viongozi wa upinzani

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 11, 2026
1h ago
William Ruto amewakashifu viongozi wa upinzani, akisema kazi yao ni kuwapotosha Wakenya. Akizungumza katika Meru County, Rais Ruto amesema serikali yake iko imara na itaendelea kutekeleza ahadi ilizotoa kwa Wakenya, licha ya ukosoaji kutoka kwa viongozi wa upinzani.
Advertisement