Back to home

Gachagua kukutana na Uhuru Kenyatta baada ya vikao vya Wamunyoro

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 11, 2026
2h ago
Rigathi Gachagua amesema kuwa baada ya kukamilisha mazungumzo yake ya siku 45 na wakazi wa Mlima Kenya, yanayofanyika wamunyoro, ataketi kwenye meza ya mazungumzo na rais mstaafu Uhuru Kenyatta. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told
Advertisement