Back to home

Watu wanne wauawa katika uvamizi wa Samburu

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 11, 2026
2h ago
Hofu imetanda katika eneo la Nolkera, Samburu County, baada ya watu wanne kuuawa katika uvamizi wa wizi wa mifugo. Wavamizi wenye silaha walivamia wafugaji waliokuwa malishoni, na kusababisha makabiliano makali ya risasi. Mauaji hayo yametokea saa chache baada ya Waziri wa Usala
Advertisement