Back to home
Viongozi wa makanisa wawataka wanasiasa kutuliza kelele za siasa na kuanza kuwahudumia Wakenya
video
C
Citizen TV (Youtube)February 15, 2026
2h ago
Viongozi wa makanisa sasa wanawataka wanasiasa kutuliza kelele za siasa na badala yake kuwahudumia wakenya. Askofu mkuu wa kanisa la Kianglikana nchini Jackson Ole Sapit, akisema nyuzi joto za sasa zinazidi kupanda, zaidi ya mwkaa mmoja unusu kabla ya uchaguzi mkuu. Naye Askofu M
Advertisement
Advertisement





