Back to home
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua aongoza wanasiasa wa DCP eneo la Roysambu
video
C
Citizen TV (Youtube)February 15, 2026
2h ago
Kinara wa DCP Rigathi Gachagua amesema kuwa muungano wa upinzani unajiandaa kuhakikisha kuwa Rais William Ruto hapati muhula wa pili wa kuongoza kama rais. Akizungumza katika eneo bunge la Roysambu, Gachagua amepuuzilia mbali mdahalo wa ni nani atakayekuwa naibu wa rais katika mu
Advertisement
Advertisement





