Back to home

Naibu Rais apuuza siasa kuhusu wadhifa wake 2027

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 15, 2026
2h ago
Naibu Rais Kithure Kindiki amejitenga na mdahalo unaoendelea kuhusu nafasi ya naibu Rais, akisema kwamba ataendelea kuzingatia majukumu yake ya kumsaidia rais Ruto kutekeleza maendeleo nchini. Kindiki amesema ajenda yake kuu kwa sasa ni kushirikiana na rais katika utekelezaji wa
Advertisement