Back to home
Kinara wa ODM Oburu aliongoza mkutano wa chama cha Odm mjini Mombasa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 16, 2026
11h ago
Nao wanasiasa wa mrengo wa ODM unaoongozwa na kinara Oburu Oginga walipuuza mkutano ulioongozwa na katibu kuu wa chama hicho Edwin Sifuna huko Kitengela wakiutaja kama uasi wa chama hicho. Mrengo huu ukimtaka Sifuna na kundi lake kuondoka chamani na kukoma kutumiwa na wapinzani w
Advertisement
Advertisement




