Back to home
Wabunge walaumu walimu kwa kuongeza ada ya masomo ya ziada Tana River
video
C
Citizen TV (Youtube)February 16, 2026
9h ago
Viongozi kutoka kaunti ya Tana River wamelaumu ada za masomo ya ziada zinazotozwa na walimu kama chanzo cha matokeo mabaya ya mitihani ya kitaifa katika eneo hilo.
Kwenye mkutano ya siku ya elimu kaunti hiyo, viongozi hao wamesema wanafunzi wanasalia nyumbani kwa muda mrefu kutok
Advertisement
Advertisement





