Back to home

Chama cha KUPPET chatishia kuitisha mgomo mwezi ujao

video
C
Citizen TV (Youtube)
April 3, 2026
2h ago
Chama cha walimu KUPPET eneobunge la Kabuchai kaunti ya Bungoma kimetishia kuitisha mgomo muhula wa pili iwapo tsc na wizara ya afya zitaendelea kushindwa kushughulikia matatizo ya bima ya sha pamoja na kuajiri walimu wapya. Kulingana na viongozi hao, walimu wanapitia changamoto
Advertisement