Back to home
Siasa za UDA Mlima Kenya
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Gavana wa Kaunti ya Kirinyaga,Anne Waiguru alihimiza eneo la Mlima Kenya kuendelea kumuunga mkono Rais William Ruto, akionya kuwa kuhamia upinzani kunaweza kuligharimu eneo hilo ushawishi wake huku wito ukizidi kuongezeka wa kumtaka azingatiwe kwa nafasi ya Naibu Rais mwaka 2027.
Advertisement
Advertisement





