Back to home
Rais ruto apigiwa debe Pwani
video
C
Citizen TV (Youtube)April 3, 2026
2h ago
Baadhi ya viongozi wa chama cha UDA kutoka ukanda wa Pwani wamesema watasalia kwenye serikali ya Rais William Ruto kutokana na manufaa ambayo eneo la Pwani linajivunia tangu serikali hiyo kuingia mamlakani.
Advertisement
Advertisement





