Back to home
Mbunge wa Eldas, Adan Keynan ataka usawa katika ugavi wa rasilmali za taifa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 16, 2026
8h ago
Mbunge wa Eldas, Adan Keynan, ametoa wito wa usawa katika utoaji wa huduma za serikali, akisema wakazi wa Maeneo Kame wanastahili haki na fursa sawa na Wakenya wengine kote nchini.
Akizungumza katika eneo la Eldas, mbunge huyo alisema kwa muda mrefu jamii za Kaskazini mwa
Advertisement
Advertisement





