Back to home
Kinara wa UGM Maraga akosoa polisi kwa kuvuruga mikutano ya kisiasa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 16, 2026
7h ago
Kinara wa chama cha United Green Movement, David Maraga, ameikosoa serikali kuhusu matumizi ya vitoa machozi katika mikutano ya kisiasa ya upinzani.
Akizungumza akiwa katika ziara ya kaunti ya Meru, Maraga amesema anaunga mkono wito wa upinzani unaomtaka Inspekta Jenerali wa Poli
Advertisement
Advertisement





