Back to home

DCI wamkamata mshukiwa wa wizi wa simu Kericho baada ya kuanzisha msako

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
4h ago
Mshukiwa mmoja amekamatwa na simu zaidi ya ishirini kunaswa pamoja na vifaa vya kusafisha mfumo wa simu hizo. Kulingana na idarab ya upelelezi, simu nyingi zinazoibiwa huishia nchi za Tanzania,Uganda , Rwanda na Burundi. Katika operesheni ya kuwanasa wahusika ,eneo la Kericho lil
Advertisement