Back to home

Vitoa machozi vyavuruga mkutano wa upinzani Nyamakima

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
4h ago
Maafisa wa polisi jijini Nairobi walirusha vitoa machozi kutawanya mkutano wa kisiasa wa viongozi wa Upinzani uliohudhuriwa na kinara wa DCP Rigathi Gachagua na mwenzake wa Wiper Kalonzo Musyoka, katikati ya jiji. Hii ni baada ya viongozi hao kutangaza maandamano siku ya Ijumaa d
Advertisement