Back to home

Kifo cha risasi Kitengela: Familia ya Vincent Oyaro yadai haki baada ya kuuawa kwa risasi

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 16, 2026
5h ago
Mtu mmoja alifariki kufuatia machafuko yaliyoshuhudiwa wakati wa mkutano wa kisiasa ulioongozwa na mrengo wa Edwin sifuna eneo la Kitengela kaunti ya Kajiado hapo jana. Mwili wa Vincent Oyaro aliyeuawa kwa kupigwa risasi na polisi alipelekwa katika makafani ya city saa nne jana u
Advertisement