Back to home
Kenya Kwanza yamtahadharisha Kalonzo kuhusu upinzani
video
C
Citizen TV (Youtube)July 23, 2026
3h ago
Viongozi wa Kenya Kwanza sasa wamemtahadharisha kinara wa Wiper, Kalonzo Musyoka, dhidi ya kuendelea kujihusisha na upinzani wakisema asipochunga ataachwa nje.
Wakizungumza Makueni katika hafla ya kisiasa, viongozi hao vilevile walimkemea aliyekuwa Naibu wa Rais Rigathi Gachagua
Advertisement
Advertisement



