Back to home

Mbunge Kibagendi afurushwa bungeni kufuatia kumkashifu spika Wetangula

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 17, 2026
2h ago
Mbunge wa Kitutu Chache Kusini Anthony Kibagendi amejipata taabani kufuatia matamshi yake alipodai kuwa bunge limenadiwa kwa serikali. Kibagendi kwenye kipindi cha daybreak hapa citizen alimshutumu spika wa bunge la kitaifa Moses Wetangula na manaibu wake alidai wanaharibu na kul
Advertisement