Back to home
Mashirika ya kijamii yatoa tahadhari kuhusu ghasia katika mikutano ya kisiasa
video
C
Citizen TV (Youtube)February 17, 2026
2h ago
Mashirika ya kijamii yanayohusika na uangalizi wa uchaguzi yametoa tahadhari kuhusu ghasia na fujo zinazoshuhudiwa kwenye mikutano ya kisiasa, zaidi ya mwaka mmoja kabla ya uchaguzi. Mashirika haya kwenye kikao na kamati ya bunge kuhusu uangalizi wa katiba yameelezea hofu kuwa wa
Advertisement
Advertisement




