Back to home

Wafanyikazi wa viwanja vya ndege wasitisha mgomo baada ya makubaliano

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 17, 2026
2h ago
Muungano wa wafanyikazi wa viwanja vya ndege nchini umesitisha mgomo wake uliokuwa umeingia siku ya pili hii leo. Hatua hii ikifuatia makubaliano yaliyohusisha wizara za uchukuzi, leba na wasimamizi wa halmashauri ya viwanja vya ndege. Katibu mkuu wa muungano huo Moss Ndiema akiw
Advertisement