Back to home

Gavana Sakaja asaini mkataba na serikali ya kitaifa, Nairobi yapatiwa shilingi bilioni 80

video
C
Citizen TV (Youtube)
February 17, 2026
2h ago
Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja hatimaye ametia saini mkataba wa ushirikiano na serikali ya kitaifa ambayo sasa itatekeleza baadhi ya majukumu yake. Mkataba huo utakaoanza kutekelezwa siku kumi na nne kuanzia hii leo, utaipa kaunti ya nairobi shilingi bilioni 80 zaidi kuimarisha
Advertisement