Back to home
Mwalimu mmoja Nairobi ageukia bodaboda licha ya kuhitimu chuo kikuu cha Nairobi
video
C
Citizen TV (Youtube)February 18, 2026
3h ago
Darubini yetu inaelekezwa kwa kitendawili cha uhaba wa walimu na idadi ya walimu wasio kazi ambako mwalimu mmoja hapa Nairobi sasa amelazimika kugeukia kazi ya bodaboda licha ya kuhitimu na shahada ya ualimu. Elijah Ombuki alisomea chuo kikuu katika shule ya kitaifa ya Lenana na
Advertisement
Advertisement




